NAIBU Waziri Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Ndg. Ridhiwani Kikwete, amezunumza na Watendaji wa Taasisi ya @UONGOZI mapema leo na kuwaasa kuendelea na kazi nzuri wanayoifanya bila kusahau msingi wa kuanzishwa kwa taasisi hiyo. #KaziInaendelea #UongoziBora
No comments:
Post a Comment