Tuesday, August 11, 2026
EDDY CHARITY YAWAPA TABASAMU KISARAWE SAFE HOUSE
Monday, August 10, 2026
WANNE WAFA 46 WAJERUHIWA AJALINI
Sunday, August 9, 2026
WATANZANIA WAASWA KUSAIDIA ELIMU WATOTO WA VITUO WENYE UHITAJI
Thursday, August 6, 2026
AHUKUMIWA MAISHA JELA KWA ULAWITI MWINGINE MIAKA 20 NA FAINI M 1 KWA KUDHALILISHA MTOTO
Wednesday, August 5, 2026
POLISI YAWAREJESHA SHULENI WANAFUNZI 114
Saturday, August 1, 2026
HALMASHAURI YA MANISPAA KIBAHA YAZINDUA MAGARI MRADI WA (TACTIC)
MADARASA JANJA KUPUNGUZA CHANGAMOTO UPUNGUFU WA WALIMU NCHINI
Thursday, July 30, 2026
BINTI ATUHUMIWA KUMUUA MAMA YAKE MZAZI KWA KUMKATAZA KWENDA KWENYE SHEREHE YA KUMBUKIZI YA KUZALIWA RAFIKI YAKE.
Tuesday, July 28, 2026
MAGANYA ATAKA WANACHAMA WASICHAFUANE.
ZAHANATI YA KILIMAHEWA YAWAPUNGUZIA UMBALI WANANCHI KUPATA HUDUMA
Monday, July 27, 2026
HALMASHAURI MANISPAA YA KIBAHA YAPONGEZWA UKUSANYAJI MAPATO NA UTOAJI MIKOPO KWA VIKUNDI
Tuesday, July 21, 2026
WANANCHI WAJITOLEA KUFUFUA BARABARA
MASAUNI AWATAKA WANANCHI KUTUMIA FURSA YA HEWA UKAA
POLISI KATA MAILIMOJA AMTEMBELEA MZEE NA KUTOA MSAADA.
Sunday, July 19, 2026
WANANCHI MTAA WA MACHINJIONI WAJITOLEA KUFUNGUA BARABARA
Friday, July 17, 2026
NSSF YAWATAKA WAAJIRI KUTUMIA MSAMAHA WA TOZO
Wednesday, July 8, 2026
DKT. NICAS MAWAZO AKUTANA NA BALOZI KAIRUKI NCHINI UINGEREZA, WAJADILI FURSA ZA UWEKEZAJI KIBAHA
Friday, July 3, 2026
KUNENGE AMSHUKURU RAIS DK SAMIA KUKUZA VIPAJI VYA MICHEZO KWA VIJANA
Mpya
KUNENGE AMSHUKURU RAIS DK SAMIA KUKUZA VIPAJI VYA VIJANA
Thursday, July 2, 2026
PWANI KUMUUNGA MKONO RAIS DK SAMIA UKUSANYAJI MAPATO
Wednesday, July 1, 2026
NASHUKURU SANA MTANDAO NAJUKWAA KUBWA BELLE NAIJA
MKUTANO (AFRICA'S CREATIVE FUTURE TAKES CENTRE STAGE IN LUSAKA- (MUSTAKABALI WA UBUNIFU WA AFRIKA WACHUKUA KITUO KIKUU LUSAKA)
Monday, June 29, 2026
POLISI MKOANI PWANI LINACHUNGUZA VIFO VYA MWANAMKE NA MTOTO
AKINAMAMA WATAKIWA KUWAKUMBUKA VIJANA WAKIUME
Sunday, June 28, 2026
VIJANA WENYE VIPAJI VYA MICHEZO WATAKIWA KUWA NA NIDHAMU
MWANADIPLOMASIA OMARY PUNZI ATEULIWA KUSHIRIKI MKUTANO WA CREATIVE
Mwanadiplomasia na Mchambuzi wa Masuala ya Kidiplomasia Siasa , Itifaki na Maadili Omary Punzi ateuliwa kushiriki katika mkutano wa Creative Convergence 2026 .
Mkutano huu unaojumuisha Africa Creative Market (ACM), Creative Industry Business Summit (CIBS), na Kwimbo National Arts Festival, unafanyika kuanzia Juni 29 hadi Julai 4, 2026 jijini Lusaka, Zambia.
Mkutano huo unaisimamiwa na Wizara ya Vijana, Michezo na Sanaa nchini Zambia
Utafanyika katika kumbi za mikutano zilizopo Mulungushi International Conference Centre kuanzia Juni 29 hadi Julai 2, 2026 na kuanzia tarehe 3 hadi 4 Julai
Tamasha la Sanaa, tamasha la Kwimbo huko Polo B, Lusaka Showgrounds.
Mkutano huo utakutanisha Vijana zaidi 10000 kutoka Bara la Afrika.
kushiriki Programu na Warsha (Sessions & Masterclasses)
Mijadala ya Biashara, Mijadala inayohusu biashara ya sanaa, filamu, muziki, teknolojia (kama AI), na mitindo.
Mafunzo ya Kitaalamu, Ufikiaji wa masterclasses zinazoendeshwa na washirika wa sekta, mfano mafunzo ya upigaji picha au uigizaji.
Kuunganisha Mtandao wa Biashara (Networking & Deal Rooms)
Ushirikiano wa Kibiashara, mikutano ya kibiashara (kama vile Deal Rooms au Creative Pitch Zone) ambapo wabunifu wanakutana na wawekezaji, wafadhili, na watengeneza sera ili kugeuza mawazo kuwa mikataba ya kazi.
MAWAZO YA VIJANA
Malecela alisema kuwa washiriki hao 100 ambao waliiingia kambini kwenye Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere wamechujwa na majaji wabobezi wa masuala ya uchumi na fedha na kubaki 10 watashindana ili kumpata mshindi wa shindano hilo.
Rais Dk Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha kumpata kijana mwenye wazo zuri Julai 6 mwaka huu Jjiini Dar es Salaam kwenye Ukumbi wa Julius Nyerere Internation Convention Centre (JNICC) Jijuni Dar es Salaam.
mwisho
WALIPA KODI WATAKIWA KUONYESHA UZALENDO KWA KULIPA KWA WAKATI
MAWAZO VIJANA CHALLENGE KUTUMIKA KIMAENDELEO
Hayo yalisemwa Kibaha na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Jenifa Omollo wakati wa kufunfa mafunzo ya siku nne kwa vijana 100 walioandika mawazo juu ya masuala ya uchumi kupitia jukwaa la Vijana Uchumi Challenge.
Omollo alisema kuwa mawazo yaliyoandikwa na vijana yameonyesha kuwa yakiboreshwa yanaweza kuwa mpango mzuri ambao unaweza kukabili changamoto mbalimbali ndani ya jamii na Taifa kwa ujumla.
"Mawazo yote yaliyowasilishwa hayataachwa badala yake yataboreshwa na kupatiwa fursa ili yawe mpango ambao utakuwa suluhu kwa baadhi ya changamoto ili kuleta tija na kusaidia Taifa mojawapo likatoa ajira kwa vijana,"alisema Omollo.
Alisema kuwa mawqzo hayo ni bunifu ambazo zimeonyesha jinsi gani vijana walivyokuwa na vipaji ambavyo vitatoa ajira na kuwa na manufaa kwa watu wengi hivyo kulisaidia Taifa.
Naye mwenyekiti wa kamati ya Vijana Uchumi Challenge Joseph Malecela alisema kuwa jumla ya mawazo zaidi ya 7,000 ya vijana kote nchini wenye umri kati ya miaka 15 hadi 35 yaliwasilishwa na kuchujwa na kubaki 100 ambayo yatashindanishwa kupata mshindi.
Malecela alisema kuwa washiriki hao 100 ambao waliiingia kambini kwenye Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere wamechujwa na majaji wabobezi wa masuala ya uchumi na fedha na kubaki 10 watashindana ili kumpata mshindi wa shindano hilo.
Rais Dk Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha kumpata kijana mwenye wazo zuri Julai 6 mwaka huu Jjiini Dar es Salaam kwenye Ukumbi wa Julius Nyerere Internation Convention Centre (JNICC) Jijuni Dar es Salaam.
mwisho






































