KATA ya Visiga Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha inaendelea na mchakato wa kuibadilisha Zahanati ya Visiga kuwa kituo cha afya ambapo imepokea kiasi cha shilingi milioni 57 kwa ajili hiyo.BRAILO MEDIA
HABARI ZETU
Friday, January 30, 2026
KATA YA VISIGA YAMSHUKURU RAIS DK SAMIA SULUHU HASSAN SIKU 100 KUMWAGA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO
KATA ya Visiga Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha inaendelea na mchakato wa kuibadilisha Zahanati ya Visiga kuwa kituo cha afya ambapo imepokea kiasi cha shilingi milioni 57 kwa ajili hiyo.Thursday, January 29, 2026
SIKU 100 ZA RAIS DK SAMIA SULUHU HASSAN MIRADI YA MAENDELEO
KATA ya Visiga Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha inaendelea na mchakato wa kuibadilisha Zahanati ya Visiga kuwa kituo cha afya ambapo imepokea kiasi cha shilingi milioni 57 kwa ajili hiyo.
Tuesday, January 27, 2026
WANASIASA WANAWAKE WATAKIWA KUJIKITA KWENYE UCHUMI
WANAWAKE wanasiasa Wilayani Kibaha wametakiwa kupambana kukuza uchumi wao ili kukabiliana na changamoto ukatili wa kijinsia wanazozipata kipindi cha kuwania uongozi.
Monday, January 26, 2026
MITI 6,379 KUPANDWA PWANI KUMBUKIZI KUZALIWA DK SAMIA SULUHU HASSAN
MITI 6,379 itapandwa Mkoani Pwani katika kuadhimisha siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan.
HALMASHAURI YAKABIDHI MADAWATI 4,000
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kibaha imetoa madawati viti na meza 4,000 kwa Shule za Msingi na Sekondari vikiwa na thamani ya shilingi milioni 400.
Akikabidhi madawati viti na meza Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Nickson John alisema kuwa Halmashauri imefanya jambo zuri la kukabili changamoto ya wanafunzi kukaa chini.
Kwa upande wake Meya wa Manispaa ya Kibaha Dk Nicas Mawazo alisema kuwa idadi ya wanafunzi inaongezeka kutokana na wazazi kuhamia Kibaha.
Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha Dk Rogers Shemwelekwa alisema kuwa walitenga kiasi cha shilingi milioni 400 kwa ajili ya kutengeneza madawati viti na meza 4,000 ikiwa kwa Shule za Msingi madawati 2,000 na Sekondari viti na meza 2,000.
Sunday, January 25, 2026
VIJANA WATUNZE AMANI
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) NEC Taifa kupitia Jumuiya ya Wazazi Hamoud Jumaa ameitaka Jumuiya hiyo kuwapa vijana malezi mazuri ili watunze amani.





