Nimewapa pole , na nimewaahidi ntaendelea kuwasemea kero hii Bungeni na kwenye Mamlaka mbalimbali .
Tangu 2018 mafuriko yalipoanza nimekuwa Kiongozi wa kwanza kuwafikia na kuwafariji # Mbunge wa Jimbo Kazini
HABARI ZETU
Nimewapa pole , na nimewaahidi ntaendelea kuwasemea kero hii Bungeni na kwenye Mamlaka mbalimbali .
Tangu 2018 mafuriko yalipoanza nimekuwa Kiongozi wa kwanza kuwafikia na kuwafariji # Mbunge wa Jimbo Kazini
UMOJA wa Wanaume Mkombozi (UWWM) umefanikisha kupatikana kwa damu kiasi cha chupa 13 kwa ajili ya Kituo cha Afya Kata ya Pangani Wilayani Kibaha.
Nimezungumza na maafisa tawala na RasilimaliWatu , katika mkutano uliofanyika Ukumbi wa AICC, Arusha na kuwakumbusha kutekeleza wajibu wao na kuleta furaha kwa watumishi wa umma ili kwa upande mwengine nao wapeleke furaha na neema kwa Watanzania . Uamuzi wa hivi karibuni wa Serikali kupandisha madaraja watumishi 219,042 ni hatua ya kihistoria katika kuimarisha utumishi wa umma nchini Tanzania.
Hatua hii ambayo imepata ridhaa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na ongezeko la mishahara ya watumishi wa umma (2025): +35.1% , Ongezeko la kima cha chini sekta binafsi (2025/26): +33.4%
Aidha Sekta mbalimbali zinakwenda athiriwa na maboresho haya ikiwemo afya, elimu, kilimo, mawasiliano, usafirishaji, nishati, viwanda, biashara, hoteli, michezo, uvuvi, baharini, madini ,utamaduni n.k
Matokeo haya kitakwimu zinaonyesha kasi ya mageuzi ya kiutumishi chini ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ambayo inaonyesha uongozi wa kimkakati unaoweka mbele ustawi wa watumishi na ufanisi wa taasisi za umma.
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Kibaha Mjini umeishauri Wizara ya Maendeleo ya Vijana kuangalia upya mfumo wanamna ya kuwapata vijana kukopa ili wengi waweze kunufaika.