Kuzungumza na Wananchi na kueleza hatua mbalimbali zilizofikiwa na serikali yetu katika kutatua changamoto zinazotokana na shughuli za maendeleo ikiwemo miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Halmashauri yetu.
Nimetumia nafasi hiyo kuwakumbusha mabadiliko mbalimbali yanayofanyika katika sekta mbalimbali ikiwemo ya Afya, Elimu, Huduma za Jamii, Miundombinu, Maji, Utumishi wa Umma n.k. Ahadi yetu ni kuendelea kuwatumikia na kutatua changamoto zetu.#TukoPamoja #Chalinze #KaziInaendelea
No comments:
Post a Comment