MBUNGE wa Chalinze ameshiriki sherehe yaMiaka 10 ya Taasisi ya Ifm Charity kwa kufungua Vyoo vilivyojengwa na Taasisi hiyo na kula chakula nao katika kituo cha kulelea Watoto Yatima cha Hope-Miono, Chalinze. Mh. Mbunge amewashukuru wanachuo hao kwa kujali wenye uhitaji #10IFMSO
No comments:
Post a Comment