Monday, February 5, 2024

NYUMBU YAITAMBIA AFRICAN LYON

Ofisa Michezo Mkoa wa Pwani katika aliyevaa tisheti ya bluu Grace Bureta akiwa na baadhi ya viongozi wa Chama Cha Soka Mkoa wa Pwani (COREFA)  wakifuatilia mchezo wa First League Nyumbu 3-2 African Lyon Fc.

No comments:

Post a Comment