Saturday, February 3, 2024

TAASISI YA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE YATEMBELEA BUNGENI




Taasisi ya kumbukumbu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Mkoa wa Pwani yatembelea Bungeni Tarehe 2.2.2024 Kwa Mwaliko wa Mhe Subira Mgalu Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Pwani Kwa lengo la Kujifunza Shughuli za Bungeni.

Katibu wa Taasisi hiyo Mkoa wa Pwani Ndugu Omary Punzi Kwa niaba ya Taasisi alitoa Shukrani Kwa Mbunge Subira Mgalu Kwa namna alivyoipokea Taasisi na kuheshimu sambamba na hilo alipongeza Juhudi za Serikalini ya Awamu ya Sita ya Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hassani namna Bunge lilivyokuwa linafanya kazi Vizuri Kwa uchangamfu sana na Kujibu hoja vizuri

No comments:

Post a Comment