Sunday, February 4, 2024

LIKUNJA CUP ROBO FAINALI KUTIMUA VUMBI FEBRUARI 7


 MAashindano ya Likunja Cup hatua ya Robo Fainali yataanza kutimua vumbi Februari 7 uwanja wa Shule ya Msingi Zegereni kwa kuzikutanisha Misugusugu Fc na Veterani Fc kwa mujibu wa Rashid Likunja 

No comments:

Post a Comment