MWAKILISHI WA BALOZI WA UGANDA YAPONGEZA UBUNIFU WA TAASISI YA KUMBUKUMBU YA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE MKOA WA PWANI
Mwakilishi wa Balozi wa Uganda Bregedia Ronald Bigirwa apongeza ubunifu wa Uongozi Taasisi ya kumbukumbu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Mkoa wa Pwani kwa Tshirt yenye maneno mazuri.
Akipokeaa Tshirt hizo yeye na mke wake katika maadhimisho hayo ya miaka 102 ya kuzaliwa kwa Mwl Julius Kambarage Nyerere lililofanyika katika Ukumbi wa Mji wa Mtumba Mkoani Dodoma tarehe 13.4.2024
No comments:
Post a Comment