Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishina Msaidizi wa Polisi Pius Lutumo, amefunga mafunzo ya kuwajengea uwezo wakaguzi wa Polisi toka Wilaya zote na vikosi vyake kwa awamu ya pili huku akiwataka wakaguzi hao kuwa na UTII na kwenda kufanya kazi kulingana na viapo vyao, mafunzo hayo ya muda wa miezi miwili yamefungwa Leo katika viwanja vya Polisi Mkoa wa Pwani ambapo Kamanda Lutumo ameelza hategemei kuona Mkaguzi aliyehitimu Leo hii kufanya kazi kinyume na viapo vyao kwenye kuwahudumia wananchi
No comments:
Post a Comment