Tuesday, September 5, 2023

MBUNGE MUHARAMI MKENGE AKUTANA NA NAIBU WAZIRI MKUU DK DOTTO BITEKO NA WAZIRI MSTAAFU WA MALIASILI WA KENYA NAJIB BALALA

MBUNGE wa Jimbo la Bagamoyo Muharami Shabani Mkenge, Leo tarehe 5 mwezi wa 9 alipata  wasaa wa kuwa na mazungumzo na Naibu waziri mkuu na waziri wa Nishati  Mhe Dotto Biteko,  pamoja na waziri wa maliasili mstaafu wa Kenya Mhe Najib Balala  ofisini kwa Naibu  waziri  mkuu 

Wakijadili uwekezaji  katika sekta ya chumvi, pamoja na upatikanaji wa umeme wa uhakika katika Jimbo la Bagamoyo.

IMETOLEWA NA OFISI YA MBUNGE JIMBO LA BAGAMOYO🇹🇿

No comments:

Post a Comment