REHEMA KAWAMBWA ATEULIWA UJUMBE SOKA LA WANAWAKE COREFA
REHEMA KAWAMBWA ameteuliwa kushika nafasi ya ujumbe kamati tendaji ya chama cha mpira wa miguu mkoa wa pwani(corefa) kuwakilisha soka la wanawake ya muda kusubiri uchaguzi baada ya mjumbe aliyekuwa anashika nafasi hiyo Faraja Makale kujiuzulu.
No comments:
Post a Comment