Sunday, October 19, 2014

GOMBO GAMBUSI




 Mtumishi wa Mungu wa kituo cha maombezi cha Gombo Gambusi kilichopo Kibamba kwa Waitara Mwalimu Allister Albano akiwa anahubiri kituoni hapo Jumapili hii. 

 Mtumishi wa Mungu Mwalimu Allister Albano kushoto akiwa na mkewe wakifanya maombi kwa waumini kituoni hapo Jumapili hii

 Mtumishi wa Mungu Mwalimu Allister Albano kushoto akimwombea mgonjwa wakati wa ibada iliyofanyika kituoni hapo Jumapili hii 

 Baadhi ya waumini wakiwa kwenye maombi kwenye ibaada iliyofanyika Jumapili hii 

 Baadhi ya waumini wakiwa wanafanyiwa maombi na mtumishi wa Mungu Mwalimu Allister Albano 

 Mmoja ya waumini akiwa ameanguka chini baada ya kufanyiwa maombi kwenye ibaada ya Jumapili iliyofanyika kituoni hapo 

 Waumini wa kituo hicho wakiwa wanamsikiliza Mwalimu Allister Albano wa kituo hicho hayupo pichani alipokuwa akihubiri Jumapili hii 

 Waumini wakiwa wanaomba wakati wa ibaada hiyo Jumapili hii.

No comments:

Post a Comment