Saturday, August 23, 2014

PWANI WAZINDUA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI WANAWAKE (PWMO)

 mkurugenzi wa benki ya wanawake Tanzania Margareth Chacha akiongea wakati wa uzinduzi wa chama cha waandishi wa habari wanawake mkoa wa Pwani, kushoto ni mwenyekiti wa chama hicho Mwamvua Mwinyi na kulia ni mlezi wa chama Selina Koka. 


 mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoani Pwani Mwamvua Mwinyi akiongea wakati wa uzinduzi wa chama hicho uliofanyika mjini Kibaha kulia ni mkurugenzi wa benki ya wanawake Tanzania Maragareth Chacha

 mkurugenzi wa benki ya wanawake Tanzania Margareth Chacha katikati akionyesha hati ya busajili ya chama hicho kushoto ni mwenyekiti wa chama hicho Mwamvua Mwinyi na kulia mlezi wa chama Selina Koka.

 mkurugenzi wa benki ya wanawake Tanzania Margareth Chacha katikati akiongea wakati wa uzinduzi wa chama cha waandishi wa wanawake mkoani Pwani

 mkurugenzi wa benki ya wanawake Tanzania Margareth Chacha katikati akiakata utepe kama ishara ya uzinduzi wa chama cha waandishi wa habari wanawake mkoani Pwani kulia ni mlezi wa Selna Koka na kushoto mwenyekiti wa chama hicho Mwamvua Mwinyi

 mkurugenzi wa benki ya wanawake Tanzania Margareth Chacha akikata keki wakati wa uzinduzi wa chama cha waandishi wa habari wanawake mkoa wa Pwani 

 moja ya wadau wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Pwani akiongea kwenye uzinduzi wa chama hicho uliofanyika mjini Kibaha.

















 moja ya waandishi wa habari ambaye alikuwepo kwenye uzinduzi wa chama cha wandishi wa habari wanawake mkoani Pwani akichangia hoja 

 picha ikiwaonyesha viongozi na wadau wa chama cha waandishi wa habari wanawake mkoani Pwani wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya uzinduzi wa chama hicho

 wadau wa chama cha waandishi wa habari wanawake mkoa wa Pwani wakiongea na mgeni rasmi wa uzinduzi wa chama hicho Margareth Chacha 





 wadau wa chama cha waandishi wa habari wanawake mkoa wa Pwani wakibadilishana mawazo mara baada ya uzinduzi wa chama hicho.

No comments:

Post a Comment