RIDHIWANI KIKWETE AWASHUKURU WANACHALINZE KWENYE FUTARI
Nimeshiriki futari na Wananchi wenzangu wa Halmashauri ya Chalinze pamoja na viongozi wa Chama na Serikali wa wilaya yetu. Nawashukuru sana Wananchi wenzangu kwa muitikio wenu. Asanteni sana. #RamadhanKareem #Chalinze.
No comments:
Post a Comment