Monday, April 17, 2023

RIDHIWANI AGAWA ZAWADI UHIFADHI QURAAN

Nimeshiriki kugawa zawadi katika mashindano ya Kimataifa ya uhifadhi wa Quraan yaliayofanyika Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam. Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa fursa hii.

No comments:

Post a Comment