Nyika ilifanikiwa kuifunga Kiduli kwa mikwaju ya penati 4-3 kwenye nusu fainali ya kwanza na Baberian waliifunga Nyumbu kwa mabao 2-0 michezo yote ilifanyika uwanja wa Mwendapole Kibaha.
Mchezo huo wa hatua ya fainali utachezwa kwenye uwanja wa Mwendapole ambapo mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu ndiyo utaanza kati ya Kiduli na Nyumbu.
No comments:
Post a Comment