Wednesday, September 2, 2026

MPANGO WA KUJIANDAA NA KUKABILIANA NA MVUA ZA EL NINO

Nimeongoza Kikao cha Kamati ya Wataalam Wilaya ya Gairo kupokea taarifa ya Taasisi na Idara mbalimbali namna tulivyojiandaa na kukabiliana na Mvua za El Nino  Kabla ya Mvua, Wakati wa Mvua na Baada ya Mvua.

KIKAO hiki MUHIMU kimehusisha Taasisi za TARURA, RUWASA, GAUWASA, TANESCO, JESHI LA UOKOAJI ZIMAMOTO, JESHI LA POLICE, Udhibiti Ubora wa Elimu na Idara zote zilizopo chini ya Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri.  

KAZI NA UTU, TUNASONGA MBELE.

No comments:

Post a Comment