Timu hizo ziliingia kwenye hatua ya penati baada ya kufungana goli 1-1 hadi dakika 90 zilipotamatika kwenye mchezo huo.
Kutokana na matukio hayo Nyika imeingia hatua ya fainali ikisubiri mchezo kati ya Nyumbu na Baberian mchezo utakaopigwa kwenye uwanja huo huo wa Mwendapole.

No comments:
Post a Comment