Monday, September 4, 2023

UONGOZI JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA WAINGIA MKOANI NJOMBE

Picha ikimuonesha Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania Abdalla Salim akiwa anasaini Kitabu Cha  wageni Katika Ofisi ya Jumuiya ya Wafanyabiashara Makambako mkoani Njombe Leo September 4,2023.

MWENYEKITI JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA TANZANIA AKUTANA NA UONGOZI MKOA WA NJOMBE

Picha ikimuonesha Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania Hamis Livembe akizungumza na Uongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Makambako Mkoani Njombe kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Jumuiya Leo September 4, 2023.

MWENYEKITI (JWT) TAIFA MKOANI NJOMBE

Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara Tanzania Hamis Livembe akiwa anasaini Kitabu Cha Wageni Katika Ofisi ya Jumuiya ya Wafanyabiashara Makambako Mkoani Njombe Leo September 4,2023.

MWENYEKITI JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA TANZANIA ATUA MKOANI NJOMBE

Mwenyekiti wa Jumuiya Wafanyabiashara Tanzania  Hamis Livembe akiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara Makambako Mkoani Njombe Sifaeli Msigala Leo September 4, 2023.

MWENYEKITI JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA TANZANIA ATUA MKOANI NJOMBE

Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara Tanzania Hamis Livembe akiwa anasaini Kitabu Cha Wageni Katika Ofisi ya Jumuiya ya Wafanyabiashara Makambako Mkoani Njombe Leo September 4,2023.

MWENYEKITI JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA TANZANIA AKIWA MKOANI NJOMBE

 

Mwenyekiti wa Jumuiya Wafanyabiashara Tanzania  Hamis Livembe akiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara Makambako Mkoani Njombe   Sifaeli Msigala Leo September 4, 2023.

MWENYEKITI (JWT) TAIFA ATEMBELEA MKOA WA NJOMBE

Mwenyekiti wa Jumuiya Wafanyabiashara Tanzania  Hamis Livembe akiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara Makambako Mkoani Njombe   Sifaeli Msigala Leo Septemba 4, 2023.