Mgalu amesema vitongoji hivyo vilivyokumbwa na mafuriko yaliyosababisha kuharibika kwa Miundombinu ya barabara na maji kuzingira makazi na taasisi za Umma.
Nimewapa pole , na nimewaahidi ntaendelea kuwasemea kero hii Bungeni na kwenye Mamlaka mbalimbali .
Tangu 2018 mafuriko yalipoanza nimekuwa Kiongozi wa kwanza kuwafikia na kuwafariji # Mbunge wa Jimbo Kazini

No comments:
Post a Comment