Saturday, January 13, 2024

BUNGE SC KUCHUANA NA BUNGE LA WAWAKILISHI SC

Kombaini ya Wachezaji wa Bunge SC na BLW SC Katika picha ya pamoja na Waheshimiwa Maspika wa Bunge Mhe. Dkt Tulia Ackson na Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Zubeir Ally Maulid Kabla ya mchezo wa Kombaini Hiyo na NMB. NMB waliibuka washindi kwa magoli 7-2. Leo Jumamosi tarehe 13.01.2024 Bunge SC itavaana na BLW Katika mchezo wa utangulizi kabla ya fainali ya Mapinduzi Cup

No comments:

Post a Comment