Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini Hamoud Jumaa kulia akimkabidhi kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kibaha Beda Mmbaga funguo za magari mawili ya kubebea wagonjwa na moja liliotolewa na Rais Dk John Magufuli kwa vituo vya afya vya Halmashauri hiyokulia ni mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mansour Kisebengo. |
No comments:
Post a Comment