Thursday, July 27, 2017

MBUNGE ATOA MAGARI MAWILI YA KUBEBA WAGONJWA

Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini Hamoud Jumaa kulia akimkabidhi kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kibaha Beda Mmbaga funguo za magari mawili ya kubebea wagonjwa na moja liliotolewa na Rais Dk John Magufuli kwa vituo vya afya vya Halmashauri hiyokulia ni mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mansour Kisebengo.
 
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akiwasha gari lililotolewa na Rais Dk John Magufuli kwa ajili ya kituo cha Afya cha Mlandizi wilayani Kibaha mkoani Pwani wanaoshuhudia ni Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini Hamoud Jumaa kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kibaha na mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Mansour Kisebengo.
Vitanda vitatu vya kuzalishia wanawake wajawazito vilivyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini Hamoud Jumaa kwa ajili ya vituo vya afya vya Jimbo hilo. 

No comments:

Post a Comment