Monday, July 22, 2024

KAMPENI KUPINGA UKATILI DHIDI YA WATOTO NA WATU WENYE UALBINO




(ATFT) KWA KUSHIRIKIANA NA  HALMASHAURI YA KIBAHA MJI Yaendeleza kampeni yake ya  kupinga ukatili dhidi ya watoto na watu wenye mahitaji maalum, kwakutumia michezo na sanaa, kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka (18) na kuendelea, kama njia moja wapo ya kutoa elimu kwa jamii mbalimbali, ATIFITI CUP) Itakayo zinduliwa trh 23/08/2024 ikidhaminiwa vinywaji na kampuni U-FRESH, tarehe 20/07/2024, USHIRIKI WAKO NI MUHIMU  KUENEZA ELIMU TAJWA HAPO JUU.

No comments:

Post a Comment