Tuesday, March 14, 2017

MUHONGO AZINDUA REA AWAMU YA TATU PWANI



Kushoto katibu Tawala mkoa wa Pwani Zuberi Samataba akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete kulia ni mkurugenzi wa REA Injinia Gisima Nyamo-Hanga na kushoto nyuma ni mkuu wa mkoa wa Pwani Injinia Evarist Ndikilo  wakati wa uzinduzi wa REA awamu ya tatu mkoa wa Pwani uliofanyika kwenye Kitongoji cha Msufini wilaya ya Kibaha

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akisalimiana na kiongozi wa timu ya kampuni ya Steg International Services ya Tunisia ambayo imepewa zabuni ya mradi wa Umeme Vijijini REA awamu ya tatu mkoani Pwani
Wabunge Abou Jumaa kushoto na Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete wakiwa wanasikiliza jambo wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Umeme Vijijini REA Mkoa wa Pwani awamu ya tatu   



Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo aliyebeba udongo kwa ajili ya kuweka kwenye nguzo ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa REA awamu ya tatu mkoa wa Pwani kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete


Mkurugenzi wa REA Injinia Gisima Nyamo-Hanga akizungumza wakati wa uzinduzi huo 

Kushoto mkuu wa Mkoa wa Pwani Injinia Evarist Ndikilo akiongea huku Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akimsikiliza wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Umememe Vijijini REA awamu ya tatu mkoani Pwani kwenye kitongoji cha Msufini wilayani Kibaha 


Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete akisisitiza jambo mbele ya Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo wa kwanza kushoto mbele ya mafundi wa kampuni ya Tunisia ya Steg International Services ambao ndiyo watakaoendesha mradi huo.

 Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akiongea mbele ya mafundi wa kampuni ya Steg International Services ya Tuniasia waliopewa kazi ya kusimamia mradi wa REA awamu ya tatu mkoani Pwani, katikati ni Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete na kulia ni Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini Abou Jumaa.
Baadhi ya wananchi waliohudhuria uzinduzi wa mradi wa umeme vijijini  

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo aliyeshika mkasi kwa ajili ya kukata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa REA mkoa wa Pwani kushoto ni mkuu wa mkoa wa Pwani injinia Evarist Ndikilo na kulia ni Mbunge wa Jimbo la Kibaha vijijini Abou Jumaa akifuatiwa na Mkurugenzi wa REA Injinia Gisima Nyamo-Hanga  

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akifunua kitambaa kuashiria uzinduzi wa mradi wa Umeme Vijijini REA mkoa wa Pwani kulia ni Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete na kushoto Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini Abou Jumaa 

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa mradi wa REA mkoa wa Pwani kulia ni mkuu wa mkoa wa Pwani Injinia Evarist Ndikilo kushoto mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini Abou Jumaa anayefuatia ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete 

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo katikati akikabidhiwa mbuzi na baaadhi ya wakazi wa mkoa wa Pwani, kulia ni mkuu wa mkoa wa Pwani Injinia Evarist Ndikilo na kushoto ni mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini Abou Jumaa 

No comments:

Post a Comment