Monday, February 9, 2026

MAFUNZO YA ITIFAKI KWA TAASISI YA SMAUJATA



Wapatiwa mafunzo ya Protocol and Etiquette (Ustarabu na Itifaki za Viongozi) Maadili na Uzalendo kwa watumishi. 

Katika kuhakikisha  taasisi  zinajengewa uwezo wa kiimadili katika kazi 

Mtaalamu wa Kidiplomasia, Uongozi na maadili Ndugu Omary Abdull Punzi amewelekeza  na kuwakumbusha taasisi ya SMAUJATA  katika mafunzo yaliyoandaliwa na taasisi hiyo kufanyika  Februari 7 hadi 8 mwaka 2026  katika Ukumbi wa Chuo Cha VETA Keko Dar es Salaam.


Mafunzo hayo yaliyofunguliwa na Ndugu Salehe Omary Kaimu Mkuu wa Chuo cha VETA  akimwakilisha mkuu wa chuo hiko na kufungwa na Ndugu Fredrick Nelson Rwegasira - Makamu Mwenyekiti   SMAUJATA.

Aidha katika mafunzo hayo yalijikita katika 
Itifaki na Ustarabu wa Viongozi sambamba na maadili

No comments:

Post a Comment