Wapatiwa mafunzo ya Protocol and Etiquette (Ustarabu na Itifaki za Viongozi) Maadili na Uzalendo kwa watumishi.
Katika kuhakikisha taasisi zinajengewa uwezo wa kiimadili katika kazi
Mtaalamu wa Kidiplomasia, Uongozi na maadili Ndugu Omary Abdull Punzi amewelekeza na kuwakumbusha taasisi ya SMAUJATA katika mafunzo yaliyoandaliwa na taasisi hiyo kufanyika Februari 7 hadi 8 mwaka 2026 katika Ukumbi wa Chuo Cha VETA Keko Dar es Salaam.




No comments:
Post a Comment