Friday, January 30, 2026

KATA YA VISIGA YAMSHUKURU RAIS DK SAMIA SULUHU HASSAN SIKU 100 KUMWAGA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO

KATA ya Visiga Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha inaendelea na mchakato wa kuibadilisha Zahanati ya Visiga kuwa kituo cha afya ambapo imepokea kiasi cha shilingi milioni 57 kwa ajili hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kikao cha kawaida cha Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Visiga pia kuelezea yaliyofanyika kipindi cha siku 100 za Rais Dk Samia Suluhu Hassan Diwani wa Kata hiyo Mohamed Mpaki alisema kuwa baadhi ya kero za wananchi wa Kata hiyo zimetatuliwa.

Mpaki alisema kuwa fedha hizo zilizotolewa kwenye Zahanati hiyo ya Visiga zinatokana na mapato ya ndani ya Halmashauri ambayo yamekuwa na mchango mkubwa wa kuleta maendeleo kwenye Kata hiyo ambayo ina wakazi zaidi ya 17,000.

Alisema kuwa mbali ya Zahanati hiyo kupokea fedha hizo pia na ile ya Miwaleni zimepatiwa Ultra Sound ili kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwa kukabili changamoto za vifaa hivyo kwenye Zahanati hizo.

"Tunaishukuru Serikali kwa kutupatia fedha kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo hasa katika kipindi cha siku 100 za Rais hakika Kata yetu inaenda kupiga hatua za kimaendeleo,"alisema Mpaki.

Aidha alisema kuwa pia zimetolewa kiasi cha shilingi milioni 110 kwa ajili ya ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari ambapo fedha hizo zitatumika kwa ajili ya vyumba vitano vya madarasa.

"Katika siku 100 za Rais pia tumeweza kuchonga barabara zote za mitaa ya Kata yetu ambapo fedha zilizotengwa ni kiasi cha shilingi milioni 30 na tumepokea makalavati 15 ambapo nane yatatumika kwenye eneo la Gaza ambako kuna changamoto kubwa,"alisema Mpaki.

Aliongeza kuwa pia wameweza kukusanya kiasi cha shilingi milioni 128 kutoka vyanzo mbalimbali kwenye Kata hiyo na inatokana na ufuatiliaji mzuri wa vyanzo hivyo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM Kata ya Visiga Rashid Kibiriti alisema kuwa itekelezaji wa ilani unafanyika vizuri ikiwa ni pamoja na kupokea madawati 20 kwenye Shule ya Msingi Juhudi awamu ya kwanza.

Kibiriti alisema kuwa changamoto ya maji imeanza kutatuliwa kwenye Mitaa ya Saeni na Visiga Kati mabomba yamepelekwa hivyo baada ya muda maji yataanza kupatikana na wananchi kufurahia huduma hiyo.

Thursday, January 29, 2026


 

SIKU 100 ZA RAIS DK SAMIA SULUHU HASSAN MIRADI YA MAENDELEO


KATA ya Visiga Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha inaendelea na mchakato wa kuibadilisha Zahanati ya Visiga kuwa kituo cha afya ambapo imepokea kiasi cha shilingi milioni 57 kwa ajili hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kikao cha kawaida cha Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Visiga pia kuelezea yaliyofanyika kipindi cha siku 100 za Rais Dk Samia Suluhu Hassan Diwani wa Kata hiyo Mohamed Mpaki alisema kuwa baadhi ya kero za wananchi wa Kata hiyo zimetatuliwa.

Mpaki alisema kuwa fedha hizo zilizotolewa kwenye Zahanati hiyo ya Visiga zinatokana na mapato ya ndani ya Halmashauri ambayo yamekuwa na mchango mkubwa wa kuleta maendeleo kwenye Kata hiyo ambayo ina wakazi zaidi ya 17,000.

Alisema kuwa mbali ya Zahanati hiyo kupokea fedha hizo pia na ile ya Miwaleni zimepatiwa Ultra Sound ili kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwa kukabili changamoto za vifaa hivyo kwenye Zahanati hizo.

"Tunaishukuru Serikali kwa kutupatia fedha kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo hasa katika kipindi cha siku 100 za Rais hakika Kata yetu inaenda kupiga hatua za kimaendeleo,"alisema Mpaki.

Aidha alisema kuwa pia zimetolewa kiasi cha shilingi milioni 110 kwa ajili ya ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari ambapo fedha hizo zitatumika kwa ajili ya vyumba vitano vya madarasa.

"Katika siku 100 za Rais pia tumeweza kuchonga barabara zote za mitaa ya Kata yetu ambapo fedha zilizotengwa ni kiasi cha shilingi milioni 30 na tumepokea makalavati 15 ambapo nane yatatumika kwenye eneo la Gaza ambako kuna changamoto kubwa,"alisema Mpaki.

Aliongeza kuwa pia wameweza kukusanya kiasi cha shilingi milioni 128 kutoka vyanzo mbalimbali kwenye Kata hiyo na inatokana na ufuatiliaji mzuri wa vyanzo hivyo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM Kata ya Visiga Rashid Kibiriti alisema kuwa itekelezaji wa ilani unafanyika vizuri ikiwa ni pamoja na kupokea madawati 20 kwenye Shule ya Msingi Juhudi awamu ya kwanza.

Kibiriti alisema kuwa changamoto ya maji imeanza kutatuliwa kwenye Mitaa ya Saeni na Visiga Kati mabomba yamepelekwa hivyo baada ya muda maji yataanza kupatikana na wananchi kufurahia huduma hiyo.

Tuesday, January 27, 2026

WANASIASA WANAWAKE WATAKIWA KUJIKITA KWENYE UCHUMI

WANAWAKE wanasiasa Wilayani Kibaha wametakiwa kupambana kukuza uchumi wao ili kukabiliana na changamoto ukatili wa kijinsia wanazozipata kipindi cha kuwania uongozi.

Akizungumza na waandishi wa habari Mjini Kibaha mgombea Udiwani Kata ya Kibaha kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Hamo Machapula amesema kuwa wanawake wengi wamekuwa wakikumbana na changamoto hiyo kutokana na kuwa na uchumi duni.

Machapula amesema kuwa ili kupata uongozi kwa mwanamke ni changamoto kubwa sana kutokana na baadhi ya viongozi wanaume kuwakwamisha kutokana na kuwawekea vikwazo.

"Ili tuweze kufanikiwa kupata uongozi lazima tuwe na uchumi imara ili tuweze kufanikiwa lakini uchumi wetu ukiwa chini ni changamoto kuwa viongozi,"amesema Machapula.

Alisema kuwa wanawake wanauwezo mzuri wa kuwa viongozi lakini wanakumbana na vitendo vya ukatili wa kijinsia kutoka kwa viongozi wanaume pale wanapotaka kuwania nafasi za uongozi.

"Ninachowasihi wanawake wenye ndoto za kuwa viongozi ili kukabiliana na vitendo vya ukatili pale wanapowania nafasi za uongozi ni kuwa na uchumi imara ili kukabili vitendo hivyo,"amesema Machapula.

Aidha amesema kuwa uongozi wa vyama unapaswa kuchukua hatua kwa viongozi wanaojihusisha na vitendo hivyo ili wachukuliwe hatua za kinidhamu.

"Kwanza tunapaswa kutoa taarifa pale tunapokumbana na kadhia hizo badala ya kukaa kimya kwani ukimya wetu utatusababishia madhara makubwa na kufifisha ndoto zetu,"amesema Machapula.

Alibainisha kuwa wanawake ndani ya vyama wajishughulishe na shughuli mbalimbali ili kujiongezea kipato kwani siasa inaendana na uchumi.








Monday, January 26, 2026

MITI 6,379 KUPANDWA PWANI KUMBUKIZI KUZALIWA DK SAMIA SULUHU HASSAN


MITI 6,379 itapandwa Mkoani Pwani katika kuadhimisha siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Mkuu Abubakar Kunenge amesema zoezi hilo litafanyika kesho huko Wilayani Rufiji.

Kunenge amesema kuwa zoezi la upandaji wa miti hiyo ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Rais katika kulinda na kutunza mazingira hapa nchini ili kukabili mabadiliko ya Tabianchi.

"Zoezi hilo litahusisha upandaji wa miti ya matunda 671 pamoja na miti 5,708 ya mbao na vivuli, ambayo itapandwa katika maeneo ya shule ili kuwajengea wanafunzi utamaduni wa kutunza mazingira,"amesema Kunenge.

Amesema kuwa zoezi hilo ni sehemu ya mpango wa Mkoa wa Pwani wa kupanda jumla ya miti milioni 13.5 wakati wa mvua za masika pamoja na ugawaji wa miche ya mikorosho milioni 1.5 kwa wakulima wa Wilaya ya Rufiji chini ya kauli mbiu “Uzalendo ni Kutunza Mazingira – Shiriki Kupanda Miti.”

HALMASHAURI YAKABIDHI MADAWATI 4,000

HALMASHAURI ya Manispaa ya Kibaha imetoa madawati viti na meza 4,000 kwa Shule za Msingi na Sekondari vikiwa na thamani ya shilingi milioni 400.

Akikabidhi madawati viti na meza Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Nickson John alisema kuwa Halmashauri imefanya jambo zuri la kukabili changamoto ya wanafunzi kukaa chini.

Kwa upande wake Meya wa Manispaa ya Kibaha Dk Nicas Mawazo alisema kuwa idadi ya wanafunzi inaongezeka kutokana na wazazi kuhamia Kibaha.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha Dk Rogers Shemwelekwa alisema kuwa walitenga kiasi cha shilingi milioni 400 kwa ajili ya kutengeneza madawati viti na meza 4,000 ikiwa kwa Shule za Msingi madawati 2,000 na Sekondari viti na meza 2,000.

Sunday, January 25, 2026

VIJANA WATUNZE AMANI

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) NEC Taifa kupitia Jumuiya ya Wazazi Hamoud Jumaa ameitaka Jumuiya hiyo kuwapa vijana malezi mazuri ili watunze amani.

Jumaa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini ameyasema hayo Mjini Kibaha wakati akifungua baraza la Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Pwani.

Amesema kazi ya Jumuiya hiyo ni kuhakikisha jamii hususani vijana wanakuwa na malezi bora ili kutojiingiza kwenye makundi ambayo hayana maadili mema.

"Tuwape elimu na malezi mazuri vijana wetu na tuzungumze nao juu ya amani kwani amani pia huleta afya njema na amani ndiyo kila jambo hivyo tuhubiri amani,"amesema Jumaa.  

Aidha amesema vijana nchini wanapaswa kudumisha amani na kutokubali kurubuniwa ili wasivunje amani iliyopo kwani bila amani hatutaweza kufanya mambo ya maendeleo.

"Vijana wanapaswa kulinda amani kwani ndiyo msingi wa Taifa la Tanzania na wasukubali kushawishiwa na watu kuharibu amani iliyopo kwani ikipotea ni gharama kuirudisha,"amesema Jumaa.

Amewataka viongozi wa Jumuiya  hiyo kuanza maandalizi ya uchaguzi wa Jumuiya utakaofanyika mwakani kwani uchaguzi ndani ya chama ni mgumu kuliko uchaguzi wa vyama.

"Muanze maandalizi na kama kuna kiongozi anaona anauwezo ajiandae kugombea kwenye chama wakati ukifika kwani Jumuiya hii ndiyo inayobeba jumuiya zote za chama,"amesema Jumaa.

Aliongeza kuwa viongozi wanapaswa kuacha alama kwa kuwa na miradi mbalimbali ikiwa ni pamoja na kununua ardhi pamoja na ofisi za makatibu wa jumuiya kwa kila wilaya.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Mkoa wa Pwani Josiah Jackson amesema kuwa uchaguzi umekwisha kilichobaki ni kujenga jumuiya na chama.

Jackson amesema kuwa wanachama waache makandokando kwa kuwaacha waliochaguliwa wafanye kazi zao na kuwaunga mkono ambapo kwa mkoa walipata madiwani 17 kutoka jumuiya.

Naye katibu wa CCM Mkoa wa Pwani  Kitte Mfilinge amesema kuwa anaipongeza jumuiya kwa kufanya vizuri kwenye uchaguzi mkuu kwani mkoa umeshika nafasi tatu za juu hapa nchini.

Mfilinge amesema kuwa Jumuiya hiyo iko vizuri kwani ina mshikamano na imetulia hivyo kwa sasa wajiandae na uchaguzi wa jumuiya mwakani lengo ni kujenga chama ili kiwe imara.

Saturday, January 24, 2026

VIJANA WAPEWE MALEZI BORA KULINDA AMANI

MZJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) NEC Taifa kupitia Jumuiya ya Wazazi Hamoud Jumaa ameitaka Jumuiya hiyo kuwapa vijana malezi mazuri ili watunze amani.

Jumaa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini ameyasema hayo Mjini Kibaha wakati akifungua kikao cha Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Pwani.

Amesema kazi ya Jumuiya hiyo ni kuhakikisha jamii hususani vijana wanakuwa na malezi bora ili kutojiingiza kwenye makundi ambayo hayana maadili mema.

"Tuwape elimu na malezi mazuri vijana wetu na tuzungumze nao juu ya amani kwani amani pia huleta afya njema na amani ndiyo kila jambo hivyo tuhubiri amani,"amesema Jumaa.  

Aidha amesema vijana nchini wanapaswa kudumisha amani na kutokubali kurubuniwa ili wasivunje amani iliyopo kwani bila amani hatutaweza kufanya mambo ya maendeleo.

"Vijana wanapaswa kulinda amani kwani ndiyo msingi wa Taifa la Tanzania na wasukubali kushawishiwa na watu kuharibu amani iliyopo kwani ikipotea ni gharama kuirudisha,"amesema Jumaa.

Amewataka viongozi wa Jumuiya  hiyo kuanza maandalizi ya uchaguzi wa Jumuiya utakaofanyika mwakani kwani uchaguzi ndani ya chama ni mgumu kuliko uchaguzi wa vyama.

"Muanze maandalizi na kama kuna kiongozi anaona anauwezo ajiandae kugombea kwenye chama wakati ukifika kwani Jumuiya hii ndiyo inayobeba jumuiya zote za chama,"amesema Jumaa.

Aliongeza kuwa viongozi wanapaswa kuacha alama kwa kuwa na miradi mbalimbali ikiwa ni pamoja na kununua ardhi pamoja na ofisi za makatibu wa jumuiya kwa kila wilaya.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Mkoa wa Pwani Josiah Jackson amesema kuwa uchaguzi umekwisha kilichobaki ni kujenga jumuiya na chama.

Jackson amesema kuwa wanachama waache makandokando kwa kuwaacha waliochaguliwa wafanye kazi zao na kuwaunga mkono ambapo kwa mkoa walipata madiwani 17 kutoka jumuiya.

Naye katibu wa CCM Mkoa wa Pwani  Kitte Mfilinge amesema kuwa anaipongeza jumuiya kwa kufanya vizuri kwenye uchaguzi mkuu kwani mkoa umeshika nafasi tatu za juu hapa nchini.

Mfilinge amesema kuwa Jumuiya hiyo iko vizuri kwani ina mshikamano na imetulia hivyo kwa sasa wajiandae na uchaguzi wa jumuiya mwakani lengo ni kujenga chama ili kiwe imara.



Friday, January 23, 2026

AJIPATIA KIPATO KUPITIA PANYA WEUPE

VIJANA Mkoani Pwani wameshauriwa kuchangamkia mradi wa ufugaji panya weupe ambao ni chanzo cha mapato ambapo mmoja huuzwa kati ya shilingi 3,000 hadi 5,000 kwa panya mmoja.

Akizungumza na waandishi wa habari Mjini Kibaha Mtaalamu wa Mifugo na Kilimo Rodney Mwasha amesema kuwa ufugaji wa panya hao hauna gharama kubwa.

Mwasha amesema kuwa panya hao ambao asili yao ni kutoka Japan wanatumika mashuleni kwa ajili ya mafunzo kwa wanafunzi mashuleni kwa somo la Bailojia.

"Panya hawa ni rahisi kuwafuga na hawana usumbufu na hata kuwahudumia ni rahisi kwani ni rafiki na siyo wakorofi na hawakufanyi kushindwa kufanya shughuli nyingine,"amesema Mwasha.

Amesema kuwa mradi huo ni mzuri na hautumii gharama kubwa za uzalishaji ambapo panya mmoja anauwezo wa kuzaa watoto nane hadi 10 kwa wakati mmoja na huzaa kila mwezi.

"Mimi nafuga kuku wa kienyeji, bata bukini, bata mzinga, nyuki na upande wa kilimo nalima mbogamboga na kuzalisha uyoga hivyo ufugaji wa panya nao ni sehemu ya kuongeza kipato,"amesema Mwasha.

Aidha amesema kuwa mahitaji ya panya kwa mashule ni kubwa sana hivyo vijana watumie fursa hiyo ili waweze kuongeza kipato chao na familia zao.

"Changamoto ya hawa panya ni nyoka ambao hupenda sana kula panya hivyo endapo hujaimarisha banda wanaweza kuliwa na changamoto nyingine ni maradhi,"amesema Mwasha.

Aliongeza kuwa panya hao chakula chao ni pumba, nafaka kama vile mahindi mtama na dagaa ambapo panya 300 gharama za kuwalisha ni kama 100,000 na faida ni kama milioni 1.5.

"Panya hawa wana uwezo wa kuishi miaka miwili na yeye alianza kwa kufuga panya wanne na sasa ana panya 300 hadi 400 ambapo soko lake huwa kipindi cha katikati ya mwaka,"amesema Mwasha.

Wednesday, January 21, 2026

FIDIA LAMI MAILI MOJA SHELI-MUHEZA ZAIVA

WANANCHI 65 wanaopitiwa na mradi wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Barabara kuu ya Morogoro Bp Sheli hadi Muheza Kata ya Maili Moja Wilaya ya Kibaha wamefanyiwa tathmini kwa ajili ya kulipwa fidia.

Diwani wa Kata ya Maili Moja Ramadhan Lutambi amesema kuwa zoezi hilo ni muhimu kabla ya kuanza kutekelezwa kwa mradi huo Uboreshaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) kwa Manispaa ya Kibaha.

Lutambi amesema kuwa barabara hiyo ni muhimu sana kwani itaufungua Mji wa Maili Moja pia itafungua uchumi wa wakazi wa Kata hiyo kuondoa changamoto ya ubovu wa barabara.

"Ninachowaomba wananchi kutoa ushirikiano ili ujenzi usiwe na changamoto kwani kwa sasa hichi ndiyo kipaumbele cha Kata yetu kwa mwaka huu lazima lami ijengwe ikiwa ni awamu ya kwanza,"amesema Lutambi.

Amesema ni mradi muhimu sana kwani utafungua fursa nyingi za kiuchumi na kurahisisha usafiri kuwa wa haraka na usafirishaji na Mji utajengeka na kuleta maendeleo kwenye Mitaa ya Uyaoni, Maili Moja Shule na Muheza.

Naye Salum Mizoka Mthamini wa mradi kutoka Kampuni ya Botek ambaye ni Mkandarasi mshauri kwa kushirikiana na Kampuni ya Uress amesema zoezi hilo linakwenda vizuri.

Mizoka amesema kuwa uthamini unaofanyika ni kujua kila mlengwa anadai na atalipwa nini na baada ya hapo malipo yatafanyika kwa wahusika ambao wameshatambuliwa kwenye barabara hiyo kwa awamu ya kwanza ikianza na kilometa 4.

Amesema kuwa lengo la kufanya tathmini ni kuhakikisha kila mtu anayepitiwa na mradi huo ambapo sehemu za nyumba au baraza zinataguswa watalipwa fidia.

"Tunataka kusiwe na migogoro wakati wa utekelezaji wa mradi ili ujenzi ufanyike bila ya manunguniko kwani walengwa watalipwa stahiki zao bila ya tatizo lolote,"amesema Mizoka.

Aidha amesema kuwa malipo hayo yanafanywa kulingana na hali ya soko kwa sasa na hadi wakati huu hakuna changamoto na zilizopo ni ndogo ndogo.

Tuesday, January 13, 2026

BAGAMOYO SUGAR YATWAA UBINGWA MKOA WA PWANI

TIMU ya soka ya Bagamoyo Sugar ya Wilayani Bagamoyo imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Daraja la tatu Mkoa wa Pwani baada ya kuifunga Kiduli Fc ya Wilaya ya Kibaha kwa magoli 3-2 kwenye mchezo wa fainali.

Bagamoyo Sugar wametwaa ubingwa kwa jumla ya magoli 4-2 baada ya fainali ya kwanza kushinda kwa kupata ushindi wa goli 1-0.

Mchezo huo ulichezwa kwenye uwanja wa Mwendapole Wilaya ya Kibaha ulikuwa mkali na kuvutia mashabiki wengi wa Kibaha na Viunga vyake.

Kwa matokeo hayo timu ya Bagamoyo Sugar watawakilisha Mkoa wa Pwani kwenye mashindano ya mabingwa wa mikoa.

Akikabidhi kombe kwa washindi mgeni rasmi wa mchezo huo huo Fidha Helmud (Tyson) ambaye ni Rais wa timu ya Barberian inayoshiriki ligi Daraja la Kwanza alizipongeza timu hizo kwa kuonyesha ufundi mkubwa wa kusakata kabumbu.

Naye Mwenyekiti wa Chama Cha Soka Mkoa wa Pwani (COREFA) Robert Munisi amesema kuwa kufuatia kuwa mabingwa wa Mkoa huo watahakikisha wanaiunga mkono kwenye mashindano yanayofuata.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa mabingwa wapya wa Mkoa wa Pwani Bagamoyo Sugar amesema kuwa kwa kushirikiana na Chama Cha Soka Wilaya ya Bagamoyo (BFA) Kelvin Mawata amesema kuwa lengo ni kuhakikisha timu hiyo inafika mbali kwa kufanya vizuri.

Mwenyekiti wa Kiduli Fc Ally Masimike amesema kuwa amekubaliana na matokeo hayo ambapo timu hiyo itarudi kambini kwa ajili ya kujiandaa na mashindano mbalimbali.

BAGAMOYO SUGAR BINGWA PWANI

TIMU ya soka ya Bagamoyo Sugar ya Wilayani Bagamoyo imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Daraja la tatu Mkoa wa Pwani baada ya kuifunga Kiduli Fc ya Wilaya ya Kibaha kwa magoli 3-2 kwenye mchezo wa fainali.

Bagamoyo Sugar wametwaa ubingwa kwa jumla ya magoli 4-2 baada ya fainali ya kwanza kushinda kwa kupata ushindi wa goli 1-0.

Mchezo huo ulichezwa kwenye uwanja wa Mwendapole Wilaya ya Kibaha ulikuwa mkali na kuvutia mashabiki wengi wa Kibaha na Viunga vyake.

Kwa matokeo hayo timu ya Bagamoyo Sugar watawakilisha Mkoa wa Pwani kwenye mashindano ya mabingwa wa mikoa.

Akikabidhi kombe kwa washindi mgeni rasmi wa mchezo huo huo Fidha Helmud (Tyson) ambaye ni Rais wa timu ya Barberian inayoshiriki ligi Daraja la Kwanza alizipongeza timu hizo kwa kuonyesha ufundi mkubwa wa kusakata kabumbu.

Naye Mwenyekiti wa Chama Cha Soka Mkoa wa Pwani (COREFA) Robert Munisi amesema kuwa kufuatia kuwa mabingwa wa Mkoa huo watahakikisha wanaiunga mkono kwenye mashindano yanayofuata.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa mabingwa wapya wa Mkoa wa Pwani Bagamoyo Sugar amesema kuwa kwa kushirikiana na Chama Cha Soka Wilaya ya Bagamoyo (BFA) Kelvin Mawata amesema kuwa lengo ni kuhakikisha timu hiyo inafika mbali kwa kufanya vizuri.

Mwenyekiti wa Kiduli Fc Ally Masimike amesema kuwa amekubaliana na matokeo hayo ambapo timu hiyo itarudi kambini kwa ajili ya kujiandaa na mashindano mbalimbali.

BINGWA

TIMU ya soka ya Bagamoyo Sugar ya Wilayani Bagamoyo imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Daraja la tatu Mkoa wa Pwani baada ya kuifunga Kiduli Fc ya Wilaya ya Kibaha kwa magoli 3-2 kwenye mchezo wa fainali.

Bagamoyo Sugar wametwaa ubingwa kwa jumla ya magoli 4-2 baada ya fainali ya kwanza kushinda kwa kupata ushindi wa goli 1-0.

Mchezo huo ulichezwa kwenye uwanja wa Mwendapole Wilaya ya Kibaha ulikuwa mkali na kuvutia mashabiki wengi wa Kibaha na Viunga vyake.

Kwa matokeo hayo timu ya Bagamoyo Sugar watawakilisha Mkoa wa Pwani kwenye mashindano ya mabingwa wa mikoa.

Akikabidhi kombe kwa washindi mgeni rasmi wa mchezo huo huo Fidha Helmud (Tyson) ambaye ni Rais wa timu ya Barberian inayoshiriki ligi Daraja la Kwanza alizipongeza timu hizo kwa kuonyesha ufundi mkubwa wa kusakata kabumbu.

Naye Mwenyekiti wa Chama Cha Soka Mkoa wa Pwani (COREFA) Robert Munisi amesema kuwa kufuatia kuwa mabingwa wa Mkoa huo watahakikisha wanaiunga mkono kwenye mashindano yanayofuata.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa mabingwa wapya wa Mkoa wa Pwani Bagamoyo Sugar amesema kuwa kwa kushirikiana na Chama Cha Soka Wilaya ya Bagamoyo (BFA) Kelvin Mawata amesema kuwa lengo ni kuhakikisha timu hiyo inafika mbali kwa kufanya vizuri.

Mwenyekiti wa Kiduli Fc Ally Masimike amesema kuwa amekubaliana na matokeo hayo ambapo timu hiyo itarudi kambini kwa ajili ya kujiandaa na mashindano mbalimbali.

Monday, January 12, 2026

BAGAMOYO SUGAR MABINGWA DARAJA LA TATU MKOA WA PWANI

TIMU ya soka ya Bagamoyo Sugar ya Wilayani Bagamoyo imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Daraja la tatu Mkoa wa Pwani baada ya kuifunga Kiduli Fc ya Wilaya ya Kibaha kwa magoli 3-2 kwenye mchezo wa fainali.

Bagamoyo Sugar wametwaa ubingwa kwa jumla ya magoli 4-2 baada ya fainali ya kwanza kushinda kwa kupata ushindi wa goli 1-0.

Mchezo huo ulichezwa kwenye uwanja wa Mwendapole Wilaya ya Kibaha ulikuwa mkali na kuvutia mashabiki wengi wa Kibaha na Viunga vyake.

Kwa matokeo hayo timu ya Bagamoyo Sugar watawakilisha Mkoa wa Pwani kwenye mashindano ya mabingwa wa mikoa.

Akikabidhi kombe kwa washindi mgeni rasmi wa mchezo huo huo Fidha Helmud (Tyson) ambaye ni Rais wa timu ya Barberian inayoshiriki ligi Daraja la Kwanza alizipongeza timu hizo kwa kuonyesha ufundi mkubwa wa kusakata kabumbu.

Naye Mwenyekiti wa Chama Cha Soka Mkoa wa Pwani (COREFA) Robert Munisi amesema kuwa kufuatia kuwa mabingwa wa Mkoa huo watahakikisha wanaiunga mkono kwenye mashindano yanayofuata.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa mabingwa wapya wa Mkoa wa Pwani Bagamoyo Sugar amesema kuwa kwa kushirikiana na Chama Cha Soka Wilaya ya Bagamoyo (BFA) Kelvin Mawata amesema kuwa lengo ni kuhakikisha timu hiyo inafika mbali kwa kufanya vizuri.

Mwenyekiti wa Kiduli Fc Ally Masimike amesema kuwa amekubaliana na matokeo hayo ambapo timu hiyo itarudi kambini kwa ajili ya kujiandaa na mashindano mbalimbali.

BAGAMOYO SUGAR YATWAA UBINGWA MKOA WA PWANI




TIMU ya soka ya Bagamoyo Sugar ya Wilayani Bagamoyo imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Daraja la tatu Mkoa wa Pwani baada ya kuifunga Kiduli Fc ya Wilaya ya Kibaha kwa magoli 3-2 kwenye mchezo wa fainali.

Bagamoyo Sugar wametwaa ubingwa kwa jumla ya magoli 4-2 baada ya fainali ya kwanza kushinda kwa kupata ushindi wa goli 1-0.

Mchezo huo ulichezwa kwenye uwanja wa Mwendapole Wilaya ya Kibaha ulikuwa mkali na kuvutia mashabiki wengi wa Kibaha na Viunga vyake.

Kwa matokeo hayo timu ya Bagamoyo Sugar watawakilisha Mkoa wa Pwani kwenye mashindano ya mabingwa wa mikoa.

Akikabidhi kombe kwa washindi mgeni rasmi wa mchezo huo huo Fidha Helmud (Tyson) ambaye ni Rais wa timu ya Barberian inayoshiriki ligi Daraja la Kwanza alizipongeza timu hizo kwa kuonyesha ufundi mkubwa wa kusakata kabumbu.

Naye Mwenyekiti wa Chama Cha Soka Mkoa wa Pwani (COREFA) Robert Munisi amesema kuwa kufuatia kuwa mabingwa wa Mkoa huo watahakikisha wanaiunga mkono kwenye mashindano yanayofuata.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa mabingwa wapya wa Mkoa wa Pwani Bagamoyo Sugar amesema kuwa kwa kushirikiana na Chama Cha Soka Wilaya ya Bagamoyo (BFA) Kelvin Mawata amesema kuwa lengo ni kuhakikisha timu hiyo inafika mbali kwa kufanya vizuri.

Mwenyekiti wa Kiduli Fc Ally Masimike amesema kuwa amekubaliana na matokeo hayo ambapo timu hiyo itarudi kambini kwa ajili ya kujiandaa na mashindano mbalimbali.

BARBERIAN YAICHAPA TMA

TIMU ya Soka ya Barberian imefanikiwa kuifunga timu ya TMA ya Arusha kwa magoli 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza.

Mchezo huo uliokuwa mkali umefanyika kwenye uwanja wa Filbert Bayi uliopo Mkuza Wilayani Kibaha Mkoani Pwani.

Akizungumzia juu ya mchezo huo mwalimu wa timu ya Barberian Julio Elieza amesema kuwa waliweka mpango mzuri ambao ulifuatwa na wachezaji wake hadi kuibuka na ushindi licha ya kutanguliwa na wapinzani.

Kwa upande wake nahodha wa Barberian Kasim Haruna amesema ushindi wao ulitokana na kufuata maelekezo ya mwalimu wao. 

Mwalimu wa TMA Tiko Tiko alikiri kuzidiwa na wapinzani wao na kujikuta wakiambulia kipigo hicho.

Naye nahodha wa timu hiyo Fadhil Mahimbo amesema licha ya kuongoza walicheza chini na kuwapa nafasi wapinzani wao kurudi na kupata ushindi.

Timu ya Barberian ambayo inatumia uwanja huo wa Filbert Bayi inatarajiwa kucheza tena Januari 17 kwenye uwanja huo dhidi ya timu ya Songea United ambapo wameahidi kuendeleza wimbi la ushindi.


Tuesday, January 6, 2026

KIDULI FC YAJIPANGA KUPINDUA MATOKEO ILI KUTWAA UBINGWA WA MKOA WA PWANI

TIMU ya Soka ya Kiduli Fc ya Kibaha licha ya kupoteza mchezo wa fainali ya kwanza dhidi ya Bagamoyo Sugar ya Bagamoyo kwa 1-0 imejipanga kupindua matokeo ili kutwaa ubingwa wa mkoa wa Pwani.

Kiduli inatarajia kucheza mchezo wa marudiano Januari 12 kwenye uwanja wa Mwendapole na mshindi wa jumla ndiye atakayekuwa bingwa wa ligi daraja la Tatu mkoa wa Pwani.

Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa timu hiyo Ally Masimike amesema wamepoteza mchezo huo kwa bahati mbaya.

Masimike amesema kuwa watarudi kwenye uwanja wa mazoezi na kufanyia kazi mapungufu yaliyojitokeza kwenye mchezo wao wa kwanza.

"Lengo letu ni kupambana na kuhakikisha tunashinda ili kuwa mabingwa na kuuwakilisha Mkoa wetu kwenye michuano ya Mabingwa wa Mikoa,"amesema Masimike.

Bagamoyo Sugar iliifunga Kiduli Fc kwa goli 1-0 kwenye mchezo wa fainali ya kwanza kwenye uwanja wa Mwendapole Kibaha huku mchezo wa marudiano ukitarajiwa kupigwa kwenye uwanja huo huo ikiwa ni fainali ya pili ili kupata bingwa wa Mkoa.

Mwenyekiti wa kamati ya mashindano ya Chama Cha Soka Mkoa wa Pwani (COREFA) Nasoro Mbilinyi amesema kuwa ligi hiyo ilikuwa ni kwa wachezaji wenye umri chini ya miaka 20.


Mbilinyi amewataka wadau wa michezo kujitokeza kwa wingi kwenye fainali hiyo ambayo inatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na matokeo ya mchezo wa kwanza.


Bingwa wa ligi hiyo atapata kombe na atawakilisha Mkoa wa Pwani kwenye mashindano ya ligi ya Mabingwa wa mikoa.

PWANI YAMUUNGA MKONO RAIS KUTOA AJIRA KWA WANANCHI

KONGANI ya viwanda ya Gaini Company Limited iliyopo Kata ya Kikongo Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani inatarajiwa uzalisha na kutoa ajira 1,500 ifikapo Machi mwaka huu itakapoanza uzalishaji.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge alipotembekea Kongani hiyo ambapo uwekezaji huo unaendana kikamilifu na mkakati wa Serikali wa kukuza uchumi wa viwanda pamoja na kuongeza fursa za ajira kwa wananchi, hususani vijana.

Kunenge amesema kuwa Mkoa unaendelea kutekeleza vipaumbele vya Serikali kwa vitendo hususani katika eneo la uzalishaji wa ajira kwa vijana ikiwa ni sehemu ya kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan.

"Hatua hii inayochochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika Mkoa wa Pwani na kuongeza mapato ya Taifa kwa ujumla huku Mkoa ukiendelea kushirikiana na taasisi wezeshi zikiwemo TANESCO, DAWASA na TANROADS ili kuhakikisha hakuna urasimu wowote katika utekelezaji wa masuala ya uwekezaji,"amesema Kunenge.

Amesema kuwa ushirikiano na taasisi hizo ni kuwezesha upatikanaji wa mahitaji muhimu ikiwemo nishati ya umeme, maji pamoja na miundombinu ya barabara na kuwa mradi wa bomba la gesi kutoka Kinyerezi hadi Chalinze tayari umefanyiwa upembuzi yakinifu wa bilioni 2.3 na TPDC jambo litakaloongeza ufanisi wa upatikanaji wa nishati kwa viwanda mkoani humo.

Naye Meneja wa Mradi katika Kongani hiyo QS Bradley Cuthbert Muro amesema kuwa ujenzi wa viwanda viwili umefikia hatua za mwisho ambapo kiwanda cha chuma kimefikia asilimia 85 ya ujenzi huku kiwanda cha cubes kikifikia asilimia 95.

Muro amesema kuwa Kongani hiyo itakuwa na viwanda mbalimbali ikiwemo heavy duty industry, medium industry na light duty industry vikiwemo viwanda vya uzalishaji wa Nondo, Mabati, Steel Pipes, Hallow Sections (RHS) Squqre, Hallow Sections (SHS) Circular, Hallow Sections (CHS) Flat bars pamoja na Misumari.

mwisho