Thursday, January 23, 2014

MAENEO YANAUZWA



Maeneo yanauzwa hekari  2,000 liko Mikese kilomita 2 barabara kuu lina hati linauzwa m 400, hekari 1,000 liko Chalinze, liko barabarani  lina hati bei m 500, hekari 900 liko Soga Kibaha lina hati b 3.15, hekari 200 zinauzwa ziko Zogowale km 8 toka barabara kuu ya Moro halina hati linauzwa m 60, hekari 11 na hosteli liko Miembe Saba umbali wa km 1 kutoka barabara kuu ya Moro lina hati m 400, hekari 4 na nyumba zinauzwa liko Kibamba barabarani hati zipo m 400, hekari 100 liko Kwala km 25 kutoka barabara kuu halina hati m 40, hekari 100 liko Mbwawa km 10 toka barabara kuu,  hekari 38 liko Mpiji  lina hati m 133, hekari tano liko Misugusugu barabarani lina hati m 600, hekari 30 liko Misugusugu km 8 toka barabara kuu lina hati m 375, hekari 6 liko Miembe Saba km 2.5 toka barabara kuu halina hati m 100, hekari 6 liko Miembe Saba liko barabarani lina hati m 400, hekari 40 liko Mlandizi km 8 toka barabara kuu lina hati m 400, hekari 9 liko Chalinze liko barabarani lina hati m 400, hekari 11 liko Miembe Saba  km 4 toka barabara kuu lina hati m 35, hekari 20 liko Viziwaziwa/ Kibaha Kwa Mfipa halina hati m 40, hekari 30 liko Kumba Kwa Mfipa km 7 toka barabara kuu halina hati lianuzwa m 60. Kwa mawasiliano piga simu namba 0783 989168, 0754 393118 au 0656 046424.

No comments:

Post a Comment