Thursday, December 5, 2013

HABARI ZA PWANI

Na John Gagarini, Kibaha
HUKU kiwango cha maambukizi  ya ugonjwa wa UKIWMI wilayani Kibaha Mkoani Pwani kikiwa kimepanda kutoka
asilimia 7 mwaka jana hadi hadi kufikia asilimia 9.7 mwaka huu  wakazi wa kata ya Kikongo imetakiwa kuepukana unyanyapaa ili kupunguza maambukizi mapya.
Taarifa zinaonyesha kuwa idadi ya waliopata ushauri na kupima kwa kipindi
cha mwezi Januari hadi Desemaba mwaka huku waliopima ni
6,850 kati yao waliokutwa na maambukizi ya VVU ni 665 wanaume 214 na
wanawake 451.
Akizungumza na wananchi wa kata hiyo wakati wa mafunzo ya kutoa elimu kwa wananchi juu ya mapambano dhidi ya ugonjwa huo iliyoandaliwa na asasi ya kuwaletea maendeleo vijana ya Mlandizi Kibaha (YEN), diwani wa kata hiyo Bi Fatuma Ngozi alisema kuwa moja ya vitu vinavyochangia maambukizi mapya kuendelea ni kutokana na unyanyapaa ambao unaendelea ndani ya jamii.
Bi Ngozi alisema kuwa unyanyanyapaa unasababisha watu walioathirika kushindwa kujibainisha hivyo kuendelea kueneza ugonjwa huo kutokana na kuwa wasiri.
“Jamii inapaswa kuepukana na unyanayapaa ili kuondoa usiri uliopo kwani endapo wangeweka wazi hali zao ili jamii itambue na kuwasaidia,” alisema Bi Ngozi.
Alisema kuwa takwimu zinaonyesha maambukizi kuongezeka licha ya elimu kutolewa kila wakati lakini bado tatizo hilo linaendelea kuwa sugu.
“Kuna sababu nyingi ambazo zimekuwa chanzo cha maambukizi mapya ya ugonjwa huo lakini mojawapo ni unyanyapaa unaoendelea ndani ya jmii,” alisema Bi Ngozi.
Kwa upande wake mkurugenzi wa Naye mkurugenzi wa mtandao wa kuwapatia uwezo vijana (YEN) wa Mlandizi wilyani Kibaha ambao ndiyo walioandaa tamasha hilo Bw Issa Lukolo alisema kuwa lengo mafunzo hayo ni kuwakumbusha watu kujikinga na UKIMWI na kuepukana na njia zinazochangia maambukizi mapya.
Lukolo alisema kuwa jamii inapaswa kuepukana na vitendo ambavyo vimekuwa chanzo cha maambukizi ya ugonjwa huo ambao umekuwa ukimaliza nguvu kubwa na kusababisha jamii kutumia muda mwingi kuuguza wagonjwa.
Mwisho.
Na John Gagarini, Kibaha
WAZAZI nchini wameaswa kuhakikisha wanashirikiana na kusimamia malezi ya watoto wao badala ya kuwaachi wasichana wa kazi hali ambayo inachangia kwa kiwango kikubwa mmmonyoko wa maadili.
Hayo yalisemwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishina Msaidizi Mwandamizi Ulrich Matei katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Mkuu wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) Mkoa wa Pwani Mrakibu Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SSP) Atumani Mwambalaswa wakati wa mahafali ya sita katika shule ya awali ya Memory Day Care Centre iliyopo Kibaha Mkoa wa Pwani.

Akizungumza na wazazi pamoja na walezi wa wanafunzi wanaosoma katika shule hiyo, Kamanda Mwambalasa alieleza kuwa ni jukumu la kila familia kuhakikisha kuwa, inajiwekea malengo na mikakati ya kuhakikisha haizalishi wahalifu bali inazalisha watu wema na waadilifu.

“Kila mmoja katika familia yake kukataa kuwa na mhalifu na hivyo iwapo sote tukiunganisha nguvu katika mradi mpya wa Jeshi la Polisi uliozinduliwa hivi karibu na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Said Mwema wa Familia yetu haina Mhalifu basi uhalifu utapungua na jamii yetu kuwa salama,”. Alisema Kamanda Matei

Kwa upande wake Mkuu wa Dawati la Jinsi na watoto Mkoa wa Pwani Mrakibu wa Polisi Yusta Milinga, (SP) aliwaomba wananchi kuendelea kujitokeza kwenye madawati yaliyopo kwenye Mkoa na kuwafichua wale wote ambao wamekuwa wakifanya vitendo hivyo ili sheria ziweze kuchukuliwa dhidi yao na amewataka wazazi na walezi kutokubali kuyamaliza matukio ya ukatili wa jinsi majumbani mwao.

Naye Mkurugenzi wa Kituo hicho Bi Margareth Njimba alisema kuwa kutokana na kutambua umuhimu wa malezi ya mtoto na usalama wao katika makuzi, shule yao wameamua kuanzisha tawi la kupambana na vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia katika shule hiyo kwa kushirikiana na wazazi wa wanafunzi hao pamoja na dawati linalohusika na maswala ya kupambana na vitendo vya ukatili ndani ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani.
Mahafali hayo ya sita katika shule hiyo yalienda sambamba na uzinduzi wa tawi hilo uliofanywa na Mkuu wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) Mkoa wa Pwani ambapo tawi hilo litakalokuwa na jukumu la ulinzi na usalama wa Mtoto ili kumfanya awe na makuzi yaliyona maadili jamii.


Mwisho

SITA WAFA PWANI

Na John Gagarini, Kibaha

WATU sita wamepoteza maisha katika matukio tofauti yaliyotokea Mkoani Pwani.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishna Msiadizi Juma Yusufu Ally alithibitisha kutokea kwa matukio hayo na kueleza kuwa katika tukio la kwanza Bw Ramadhani Lubaya (35) mkulima na mkazi wa kijiji cha Kondo aliuwawa na watu wasiofahamika wakati akichunga mifugo ipatayo 90 porini ikiwa ni mchnganyiko wa ng’ombe na mbuzi mali ya Bw Malick Seif.

Tukio hilo lilitokea majira ya saa 9:00 alasiri Novemba  28 mwaka huu  katika Kijiji cha Kondo kata ya Zinga Wilaya ya Bagamoyo kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kwenye paji la uso.

Bw Ally alisema kuwa katika tukio la pili huko kijiji cha Gwata Kata ya Mzenga Tarafa ya Mzenga Wilaya ya Kisarawe mfanya biashara Bw Peter Gumbi (28) mkazi wa Ngerengere Mkoa wa Morogoro aliuwawa kwa kupigwa risasi na watu wasiofahamika kisha kuporwa Tsh. 1,300,000/= alizokuwa nazo kwa ajili ya kwenda kununulia ng’ombe majira ya saa 8:00 mchana Novemba tarehe mwaka huu.

Alisema kuwa marehemu alikutwa na mauti wakati akitoka kijiji cha Gwata kwenda Dololo kwenye mnada akiwa amepakiwa kwenye Pikipiki. Dereva wa pikipiki hiyo anshikiliwa na Jeshi la Polisi kwa ajili ya uchunguzi zaidi kuhusiana na tukio hilo.

Aidha katika tukio la tatu alisema mkazi wa Kitongoji cha Madafu Kata ya Vikindu Wilaya ya Mkuranga Bw Hamadi Juma (46) fundi ujenzi aliuwawa na wananchi waliojichukulia sheria mikononi baada ya kumtuhumu kupora pikipiki ambayo mmiliki wake bado kufahamika majira ya saa 3:30 usiku Novemba 28

“Marehemu alifikwa na mauti baada ya kushambuliwa kwa mawe na vigongo sehemu mbalimbali za mwili, kutokana na tukio hilo Jeshi la Polisi linaendesha msako mkali ili kuweza kuwabaini wale waliohusika katika tukio hilo kwa kisingizio cha hasira kali,” alisema Kamanda Ally.

Alibainisha kuwa katika tukio lingine, mnamo Novemba 30 mwaka huu majira ya saa 08:30 usiku huko Kijiji cha Msata Kata ya Msata Wilaya ya Bagamoyo Bw Ally Abdallah Mlenga (56) mkulima na ambaye pia anajishughulisha na kazi za uganga wa kienyeji alivamiwa nyumbani kwake na watu nane ambao walimshambulia kwa mapanga na kumuua na kisha kumjeruhi mtoto wake aitwaye Bw Abdallah Ally (25) kwa kumkata mapanga kichwani na kifuani.

“Watu hao wanaodhaniwa kuwa ni majambazi walivamia nyumba hiyo na kuvunja mlango kwa kutumia kitu kizito na baada ya kutenda kosa hilo hawakuchukua kitu chochote,” alisema Kamanda Ally.

Aidha katika tukio linguine Bw Hassan Hamadi mkazi wa Kijiji cha Mbebetini  Kata ya Kibiti Wilaya ya Rufiji (25) aliuwawa na watu waliojichukulia sheria mkononi katika tukio lilitokea majira ya Desmba 1 mwaka huu majira ya saa 7:45 usiku baada ya kumtuhumu kuvunja duka la Bw Selapia Stephen (47).

Kamanda Ally, alithibitisha kupoteza maisha kwa Omary Milondomo (17) mkazi wa Kinguila baada ya kugongwa na gari katika barabara kuu ya Dar es Salaam – Kilwa majira ya saa 2:30 usiku wa Novemba  30 mwaka huu huko katika Kijiji cha Mbembetini Kata ya Kibiti Wilaya ya Rufiji.

Alibainisha kuwa marehemu alifikwa na mauti baada ya kugongwa na gari ambayo haikufahamika namba ambayo haikusimama baada ya kutenda kosa hilo. Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Rufiji ukisubiri kufanyiwa uchunguzi wa daktari.

Mwisho.


SITA WAFA PWANI

Na John Gagarini, Kibaha

WATU sita wamepoteza maisha katika matukio tofauti yaliyotokea Mkoani Pwani.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishna Msiadizi Juma Yusufu Ally alithibitisha kutokea kwa matukio hayo na kueleza kuwa katika tukio la kwanza Bw Ramadhani Lubaya (35) mkulima na mkazi wa kijiji cha Kondo aliuwawa na watu wasiofahamika wakati akichunga mifugo ipatayo 90 porini ikiwa ni mchnganyiko wa ng’ombe na mbuzi mali ya Bw Malick Seif.

Tukio hilo lilitokea majira ya saa 9:00 alasiri Novemba  28 mwaka huu  katika Kijiji cha Kondo kata ya Zinga Wilaya ya Bagamoyo kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kwenye paji la uso.

Bw Ally alisema kuwa katika tukio la pili huko kijiji cha Gwata Kata ya Mzenga Tarafa ya Mzenga Wilaya ya Kisarawe mfanya biashara Bw Peter Gumbi (28) mkazi wa Ngerengere Mkoa wa Morogoro aliuwawa kwa kupigwa risasi na watu wasiofahamika kisha kuporwa Tsh. 1,300,000/= alizokuwa nazo kwa ajili ya kwenda kununulia ng’ombe majira ya saa 8:00 mchana Novemba tarehe mwaka huu.

Alisema kuwa marehemu alikutwa na mauti wakati akitoka kijiji cha Gwata kwenda Dololo kwenye mnada akiwa amepakiwa kwenye Pikipiki. Dereva wa pikipiki hiyo anshikiliwa na Jeshi la Polisi kwa ajili ya uchunguzi zaidi kuhusiana na tukio hilo.

Aidha katika tukio la tatu alisema mkazi wa Kitongoji cha Madafu Kata ya Vikindu Wilaya ya Mkuranga Bw Hamadi Juma (46) fundi ujenzi aliuwawa na wananchi waliojichukulia sheria mikononi baada ya kumtuhumu kupora pikipiki ambayo mmiliki wake bado kufahamika majira ya saa 3:30 usiku Novemba 28

“Marehemu alifikwa na mauti baada ya kushambuliwa kwa mawe na vigongo sehemu mbalimbali za mwili, kutokana na tukio hilo Jeshi la Polisi linaendesha msako mkali ili kuweza kuwabaini wale waliohusika katika tukio hilo kwa kisingizio cha hasira kali,” alisema Kamanda Ally.

Alibainisha kuwa katika tukio lingine, mnamo Novemba 30 mwaka huu majira ya saa 08:30 usiku huko Kijiji cha Msata Kata ya Msata Wilaya ya Bagamoyo Bw Ally Abdallah Mlenga (56) mkulima na ambaye pia anajishughulisha na kazi za uganga wa kienyeji alivamiwa nyumbani kwake na watu nane ambao walimshambulia kwa mapanga na kumuua na kisha kumjeruhi mtoto wake aitwaye Bw Abdallah Ally (25) kwa kumkata mapanga kichwani na kifuani.

“Watu hao wanaodhaniwa kuwa ni majambazi walivamia nyumba hiyo na kuvunja mlango kwa kutumia kitu kizito na baada ya kutenda kosa hilo hawakuchukua kitu chochote,” alisema Kamanda Ally.

Aidha katika tukio linguine Bw Hassan Hamadi mkazi wa Kijiji cha Mbebetini  Kata ya Kibiti Wilaya ya Rufiji (25) aliuwawa na watu waliojichukulia sheria mkononi katika tukio lilitokea majira ya Desmba 1 mwaka huu majira ya saa 7:45 usiku baada ya kumtuhumu kuvunja duka la Bw Selapia Stephen (47).

Kamanda Ally, alithibitisha kupoteza maisha kwa Omary Milondomo (17) mkazi wa Kinguila baada ya kugongwa na gari katika barabara kuu ya Dar es Salaam – Kilwa majira ya saa 2:30 usiku wa Novemba  30 mwaka huu huko katika Kijiji cha Mbembetini Kata ya Kibiti Wilaya ya Rufiji.

Alibainisha kuwa marehemu alifikwa na mauti baada ya kugongwa na gari ambayo haikufahamika namba ambayo haikusimama baada ya kutenda kosa hilo. Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Rufiji ukisubiri kufanyiwa uchunguzi wa daktari.

Mwisho.


SITA WAFA PWANI

Na John Gagarini, Kibaha

WATU sita wamepoteza maisha katika matukio tofauti yaliyotokea Mkoani Pwani.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishna Msiadizi Juma Yusufu Ally alithibitisha kutokea kwa matukio hayo na kueleza kuwa katika tukio la kwanza Bw Ramadhani Lubaya (35) mkulima na mkazi wa kijiji cha Kondo aliuwawa na watu wasiofahamika wakati akichunga mifugo ipatayo 90 porini ikiwa ni mchnganyiko wa ng’ombe na mbuzi mali ya Bw Malick Seif.

Tukio hilo lilitokea majira ya saa 9:00 alasiri Novemba  28 mwaka huu  katika Kijiji cha Kondo kata ya Zinga Wilaya ya Bagamoyo kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kwenye paji la uso.

Bw Ally alisema kuwa katika tukio la pili huko kijiji cha Gwata Kata ya Mzenga Tarafa ya Mzenga Wilaya ya Kisarawe mfanya biashara Bw Peter Gumbi (28) mkazi wa Ngerengere Mkoa wa Morogoro aliuwawa kwa kupigwa risasi na watu wasiofahamika kisha kuporwa Tsh. 1,300,000/= alizokuwa nazo kwa ajili ya kwenda kununulia ng’ombe majira ya saa 8:00 mchana Novemba tarehe mwaka huu.

Alisema kuwa marehemu alikutwa na mauti wakati akitoka kijiji cha Gwata kwenda Dololo kwenye mnada akiwa amepakiwa kwenye Pikipiki. Dereva wa pikipiki hiyo anshikiliwa na Jeshi la Polisi kwa ajili ya uchunguzi zaidi kuhusiana na tukio hilo.

Aidha katika tukio la tatu alisema mkazi wa Kitongoji cha Madafu Kata ya Vikindu Wilaya ya Mkuranga Bw Hamadi Juma (46) fundi ujenzi aliuwawa na wananchi waliojichukulia sheria mikononi baada ya kumtuhumu kupora pikipiki ambayo mmiliki wake bado kufahamika majira ya saa 3:30 usiku Novemba 28

“Marehemu alifikwa na mauti baada ya kushambuliwa kwa mawe na vigongo sehemu mbalimbali za mwili, kutokana na tukio hilo Jeshi la Polisi linaendesha msako mkali ili kuweza kuwabaini wale waliohusika katika tukio hilo kwa kisingizio cha hasira kali,” alisema Kamanda Ally.

Alibainisha kuwa katika tukio lingine, mnamo Novemba 30 mwaka huu majira ya saa 08:30 usiku huko Kijiji cha Msata Kata ya Msata Wilaya ya Bagamoyo Bw Ally Abdallah Mlenga (56) mkulima na ambaye pia anajishughulisha na kazi za uganga wa kienyeji alivamiwa nyumbani kwake na watu nane ambao walimshambulia kwa mapanga na kumuua na kisha kumjeruhi mtoto wake aitwaye Bw Abdallah Ally (25) kwa kumkata mapanga kichwani na kifuani.

“Watu hao wanaodhaniwa kuwa ni majambazi walivamia nyumba hiyo na kuvunja mlango kwa kutumia kitu kizito na baada ya kutenda kosa hilo hawakuchukua kitu chochote,” alisema Kamanda Ally.

Aidha katika tukio linguine Bw Hassan Hamadi mkazi wa Kijiji cha Mbebetini  Kata ya Kibiti Wilaya ya Rufiji (25) aliuwawa na watu waliojichukulia sheria mkononi katika tukio lilitokea majira ya Desmba 1 mwaka huu majira ya saa 7:45 usiku baada ya kumtuhumu kuvunja duka la Bw Selapia Stephen (47).

Kamanda Ally, alithibitisha kupoteza maisha kwa Omary Milondomo (17) mkazi wa Kinguila baada ya kugongwa na gari katika barabara kuu ya Dar es Salaam – Kilwa majira ya saa 2:30 usiku wa Novemba  30 mwaka huu huko katika Kijiji cha Mbembetini Kata ya Kibiti Wilaya ya Rufiji.

Alibainisha kuwa marehemu alifikwa na mauti baada ya kugongwa na gari ambayo haikufahamika namba ambayo haikusimama baada ya kutenda kosa hilo. Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Rufiji ukisubiri kufanyiwa uchunguzi wa daktari.

Mwisho.


SITA WAFA PWANI

Na John Gagarini, Kibaha

WATU sita wamepoteza maisha katika matukio tofauti yaliyotokea Mkoani Pwani.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishna Msiadizi Juma Yusufu Ally alithibitisha kutokea kwa matukio hayo na kueleza kuwa katika tukio la kwanza Bw Ramadhani Lubaya (35) mkulima na mkazi wa kijiji cha Kondo aliuwawa na watu wasiofahamika wakati akichunga mifugo ipatayo 90 porini ikiwa ni mchnganyiko wa ng’ombe na mbuzi mali ya Bw Malick Seif.

Tukio hilo lilitokea majira ya saa 9:00 alasiri Novemba  28 mwaka huu  katika Kijiji cha Kondo kata ya Zinga Wilaya ya Bagamoyo kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kwenye paji la uso.

Bw Ally alisema kuwa katika tukio la pili huko kijiji cha Gwata Kata ya Mzenga Tarafa ya Mzenga Wilaya ya Kisarawe mfanya biashara Bw Peter Gumbi (28) mkazi wa Ngerengere Mkoa wa Morogoro aliuwawa kwa kupigwa risasi na watu wasiofahamika kisha kuporwa Tsh. 1,300,000/= alizokuwa nazo kwa ajili ya kwenda kununulia ng’ombe majira ya saa 8:00 mchana Novemba tarehe mwaka huu.

Alisema kuwa marehemu alikutwa na mauti wakati akitoka kijiji cha Gwata kwenda Dololo kwenye mnada akiwa amepakiwa kwenye Pikipiki. Dereva wa pikipiki hiyo anshikiliwa na Jeshi la Polisi kwa ajili ya uchunguzi zaidi kuhusiana na tukio hilo.

Aidha katika tukio la tatu alisema mkazi wa Kitongoji cha Madafu Kata ya Vikindu Wilaya ya Mkuranga Bw Hamadi Juma (46) fundi ujenzi aliuwawa na wananchi waliojichukulia sheria mikononi baada ya kumtuhumu kupora pikipiki ambayo mmiliki wake bado kufahamika majira ya saa 3:30 usiku Novemba 28

“Marehemu alifikwa na mauti baada ya kushambuliwa kwa mawe na vigongo sehemu mbalimbali za mwili, kutokana na tukio hilo Jeshi la Polisi linaendesha msako mkali ili kuweza kuwabaini wale waliohusika katika tukio hilo kwa kisingizio cha hasira kali,” alisema Kamanda Ally.

Alibainisha kuwa katika tukio lingine, mnamo Novemba 30 mwaka huu majira ya saa 08:30 usiku huko Kijiji cha Msata Kata ya Msata Wilaya ya Bagamoyo Bw Ally Abdallah Mlenga (56) mkulima na ambaye pia anajishughulisha na kazi za uganga wa kienyeji alivamiwa nyumbani kwake na watu nane ambao walimshambulia kwa mapanga na kumuua na kisha kumjeruhi mtoto wake aitwaye Bw Abdallah Ally (25) kwa kumkata mapanga kichwani na kifuani.

“Watu hao wanaodhaniwa kuwa ni majambazi walivamia nyumba hiyo na kuvunja mlango kwa kutumia kitu kizito na baada ya kutenda kosa hilo hawakuchukua kitu chochote,” alisema Kamanda Ally.

Aidha katika tukio linguine Bw Hassan Hamadi mkazi wa Kijiji cha Mbebetini  Kata ya Kibiti Wilaya ya Rufiji (25) aliuwawa na watu waliojichukulia sheria mkononi katika tukio lilitokea majira ya Desmba 1 mwaka huu majira ya saa 7:45 usiku baada ya kumtuhumu kuvunja duka la Bw Selapia Stephen (47).

Kamanda Ally, alithibitisha kupoteza maisha kwa Omary Milondomo (17) mkazi wa Kinguila baada ya kugongwa na gari katika barabara kuu ya Dar es Salaam – Kilwa majira ya saa 2:30 usiku wa Novemba  30 mwaka huu huko katika Kijiji cha Mbembetini Kata ya Kibiti Wilaya ya Rufiji.

Alibainisha kuwa marehemu alifikwa na mauti baada ya kugongwa na gari ambayo haikufahamika namba ambayo haikusimama baada ya kutenda kosa hilo. Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Rufiji ukisubiri kufanyiwa uchunguzi wa daktari.

Mwisho.


Wednesday, December 4, 2013

MAHAFALI CBE MRS M MAUMBA

MRS M MAUMBA MARA BAADA YA KUPEWA MAUA
 AKIWA AMEPOZI NA MOJA YA NDUGU ZAKE
AKIWA AMNAVISHW ATAJI NA MOJA YA RAFIKI ZAKE
 AKIWA AMEPOZI NA MOJA YA NDUGU ZAKE
 KULIA NI MWANAE NA KUSHOTO NI MUHITIMU MWENZAKE
AKIWA NA WAHITIMU WENZAKE NA NDUGU YAKE KULIA
AKIWA NA MOJA YA WATU WALIOKWENDA KUMPONGEZA
AKIWA NA WENZAKE WAKIMSIKILIZA WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA HAYUPO PICHANI

Tuesday, December 3, 2013

MAHAFALI MAMA FATUMA MAUMBA


MATUKIO MBALIMBALI YAKIMUONYESHA MAMA MZAZI WA MWANDISHI WA HABARI FATUMA MAUMBAJU, MARIAMU M MAUMBA ALIPOHITIMU DIPLOMA YA ACCOUNTANCY (PGDA) KWENYE MHAFALI( CBE)KWENYE  MAHAFALI YALIYOFANYIKA KWENYE KLABU YA SIGAR JIJINI DAR ES SALAAM AMBAPO MGENI RASMI ALIKUWA WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA