Friday, October 9, 2015

DK MAGUFULI AFUNIKA BAGAMOYO

 Baadhi ya wakazi wa wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani wakimskiliza mgomea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM John Magufuli kwenye uwanja wa shule ya msingi Majengo Bagamyo.

 Mkuu wa mkoa wa Tanga mwenye miwani Mwantumu Mahiza akielekeza jambo wakati wa kumsubiri mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dk John Magufuli kwenye kijiji cha Mbwewe wilayani Bagamoyo

 Mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze  wilayani Bagamoyo Ridhiwani Kikwete akifurahia jambo na wananchi wa Kijiji cha Mbwewe wilayani Bagamoyo mkoani Pwani wakati wa kumsubiria mgombea Urais kwa Tiketi ya CCM Dk John Magufuli

 Baadhi ya wananchi wakiwa na mabango

 Mgombe urais wa CCM Dk John Magufuli kulia akitete jambo na Waziri wa Elimu na Mafunzo ambaye pia ni mgombe Ubunge Jimbo la Bagamoyo Dk Shukuru Kawambwa 
Aliyekuwa mgombea Ubunge kura za maoni wa CCM Jimbo la Bagamoyo Abdul Sharif kulia akiwa amepozi kushoto ni Dk zainab Gama katibu mwenezi wa CCM mkoa wa Pwani

 Abdala Bulembo mjumbe wa kampeni wa CCM Taifa akionyesha mfano wa fomu ya kupigia kura

 Mgombea Urais wa CCM Dk John Mgafuli akiongea na wananchi wa Bagamoyo waliojitokeza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa shule ya msingi Majengo

 Wananchi wakiinua mikono juu kumuunga mkono mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dk John Magufuli

 Wananchi wakimshangilia mgombea Urais Dk John Magufuli

 Mgombea Urasi CCM Dk John Magufuli katikati akisisistiza jambo kushoto ni Waziri wa Elimu na Mafunzo na mgombea Ubunge Jimbo la Bagamoyo mkoani Pwani Dk Shukuru Kawambwa kushoto na Ridhiwani Kikwete Mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze


 Mgombea Urasi Dk John Magufuli kushoto akimnadi mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika bagamoyo

 Dk John Magafuli kulia mgombea Urais CCM akimtambulisha mgombea Ubunge Jimbo la Bagamoyo Dk Shukuru Kawambwa

 Baadhi ya madiwani wa wilaya ya Bagamoyo

 Mgombea Ubunge kupitia Umoja wa Wanawake UWT mkoa wa Pwani Subira Mgalu kulia akitambulishw ana mgombea Urais CCM Dk John Magufuli wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika Bagamoyo.

No comments:

Post a Comment