Hayo yamesemwa Mjini Kibaha na Mwenyekiti wa Mtandao wa NGOs za Kibaha Mji (Kibaha Town Alliance of NGOs -KiTAN) Israel Ilunde wakati wa kikao cha wakurugenzi wa mashirika hayo na Msajili Msaidizi wa mashirika yasiyo ya kiserikali Halmashauri ya Mji Kibaha Elia Kabora.
Ilunde amesema kuwa kuna umuhimu wa mashirika hayo kufanya kazi kwa mujibu wa Sheria ikiwemo kutoa taatifa za kila robo mwaka na ripoti za mwaka bila kusahau kulipa ada ya kila mwaka.
Idara ya Maendeleo ja jamii waliwaelimisha wana AZAKI juu ya umuhimu wa malezi ya watoto ili kuwaepusha na ukatili ili waweze kutimiza ndoto zao.
No comments:
Post a Comment