Chongela alikula kiapo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Hamis Ally wakati wa kikao cha baraza la madiwani wa Halmashauri ya Mji Kibaha.
Gunze ameahidi kuwatumikia wananchi wa kata hiyo kwa kusimamia miradi ya maendeleo kupitia ilani ya CCM.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mussa Ndomba amemtaka diwani huyo kuebdeleza mazuri yaliyoachwa na mtangulizi wake ili kuleta maendeleo kwenye kata hiyo.
No comments:
Post a Comment