Mwanariadha John Mwandu akihojiwa na vyombo vya habari baada ya kushinda mbio za Tabora Marathon kwenye mashindano yaliyofanyika mkoani Tabora mwaka 2013 |
John Mwandu akimaliza mbio za mita 1,500 kwenye mashindano ya Taifa yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam mwezi Julai mwaka 2014. |
Mwanariadha John Mwandu akifanya mazoezi kabla ya kuingia kwenye mashindano ya Taifa yaliyofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro mwaka 2013 |
Mwanariadha John Mwandu watatu kutoka kulia kwenda kushoto akianza kukimbia mbio za mita 800, mwaka 2013 huko uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro |
Mwanariadha John Mwandu akiwa na washindi wengine baada ya kushinda mbio za Tabora Marathon mashindano yaliyofanyika mkoani Tabora mwaka 2013 |
Mwanariadha John Mwandu akivalishwa medali na mkuu wa wilaya ya Tabora Mjini Kumchaya baada ya kushinda mashindano ya Tabora Marathon yaliyofanyika mwaka 2013 |
No comments:
Post a Comment